Posted: 21 Sep 2017 12:56 0 views
Information Technology
Africa , Tanzania , Dar es Salaam
Sam Nujoma Rd, Dar es Salaam, Tanzania
Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (Mfuko) ulianzishwa na Serikali kwa sheria namba 11 ya mwaka 2006 ambayo ilipewa jukumu kuu la kupeleka mawasiliano vijijini. Mwaka 2009 kanuni za kuhuisha Mfuko zilipitishwa na ni katika kipindi hicho ambapo Mtendaji Mkuu wa Mfuko pia aliteuliwa kwa mujibu wa sheria.